#SheriaYaLeo (229/366); Tumia ubishi wao kuwashawishi.

By | June 17, 2022
#SheriaYaLeo (229/366); Tumia ubishi wao kuwashawishi. Kijana wa mfanyabiashara ya mikopo alienda kwa kiongozi wa dini akilalamika jinsi amejaribu kumshawishi baba yake azingatie misingi ya dini kama kusali lakini baba yake huyo alidai hana muda wa hayo mambo ya dini. Kiongozi huyo wa dini alikuwa anajua tabia za baba wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz