#SheriaYaLeo (231/360); Tumia hisia kueleweka.

By | June 19, 2022
#SheriaYaLeo (231/360); Tumia hisia kueleweka. Unapotumia maneno pekee kuelezea kitu, inakuwa vigumu kueleweka. Na pia unaishia kuibua ubishi ndani ya watu ambao hawatakubaliana na maelezo yako kirahisi. Lakini ukitumia hisia ambazo zinawanasa wengine, wanakuelewa kwa urahisi zaidi bila hata ya kuleta ubishi. Kwa kuwafanya watu wajisikie vile unavyojisikia wewe, unakuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz