#SheriaYaLeo (241/366); Wajengee Kujiamini.

By | June 29, 2022
#SheriaYaLeo (241/366); Wajengee Kujiamini. Unapojaribu kuwashawishi watu kwenye kitu chochote, moja kati ya haya matatu litatokea. Moja unaweza kukosoa na kupinga maoni yao. Kitu ambacho kitawafanya wayalinde na kutatetea maoni yao na hapo watakuwa wagumu kushawishika. Mbili unaweza usiguse kabisa maoni yao, usiyapinge wala kuyaunga mkono, kitu ambacho hakigusi hisia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz