2763; Hakuna anayekuangusha.

By | July 25, 2022
2763; Hakuna anayekuangusha. Ni rahisi sana kulaumu wengine kwamba wanakuangusha au kukukwamisha. Lakini nataka nikuhakikishie kitu kimoja, hakuna yeyote anayekukwamisha au kukuangusha. Bali hayo yote unajifanyia wewe mwenyewe. Kama hujapata au kufika kule unakotaka kufika, hakuna mwingine yeyote ambaye anakuzuia isipokuwa wewe mwenyewe. Siyo wazazi, mwenza, serikali, uchumi au mazingira

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz