#SheriaYaLeo (269/366); Epuka kukaa kwenye kona.

By | July 27, 2022
#SheriaYaLeo (269/366); Epuka kukaa kwenye kona. Kwenye michezo mbalimbali, kukimbilia kukaa kwenye kona ni kujipeleka kwenye kushindwa na hata kufa kabisa. Hali hiyo pia ipo kwenye maeneo mengine ya maisha yetu. Pale unapokabiliana na jambo lolote lile, kukimbilia kwenye kona ni kujipeleka kwenye kushindwa. Kwenye kona kunaweza kuonekana kama ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz