#SheriaYaLeo (284/366); Fikiri kwa ajili yako mwenyewe.

By | August 11, 2022
#SheriaYaLeo (284/366); Fikiri kwa ajili yako mwenyewe. Sisi binadamu huwa tunapenda sana vitu ambavyo ni rahisi na tumeshavizoea. Tunayapata mawazo yetu kutoka kwa wazazi, shule na jamii inayotuzunguka. Na mitandao ya kijamii imezidisha sana hali hiyo ya kutegemea fikra za wengine. Hivyo ndivyo tunavyoishia kufikiri kuhusu dunia na maisha kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz