#SheriaYaLeo (286/366); Ona vitu kama vilivyo na siyo kama hisia zako zinavyokusukuma.

By | August 13, 2022
#SheriaYaLeo (286/366); Ona vitu kama vilivyo na siyo kama hisia zako zinavyokusukuma. Unapaswa kujua pale unaposukumwa na hisia katika maamuzi na kujidhibiti ili usilete madhara. Hiyo ni kwa sababu hisia huwa zinatuzuia tusione vitu kama vilivyo. Hofu inakufanya umkuze zaidi adui na kukimbilia kujihami haraka. Hasira zinakufanya ukimbilie kuchukua hatua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz