2783; Haina matumizi.

By | August 14, 2022
2783; Haina matumizi. Kitu chochote kikishakosa matumizi, kinaanza kuharibika. Angalia majengo mazuri ambayo hayatumiki, huwa yanaanza kuharibika vibaya. Kadhalika kwenye vifaa mbalimbali tunavyotumia, kama kifaa hakitumiki kinaanza kuharibika. Tunapata funzo kubwa sana hapa kuhusu maisha ya mafanikio. Kama kuna kitu tunakosa au kushindwa kutumia, inasababishwa na sisi kukosa matumizi na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz