#SheriaYaLeo (292/366); Fikiria kama mwandishi.

By | August 19, 2022
#SheriaYaLeo (292/366); Fikiria kama mwandishi. Waandishi huwa wanachunguza kitu kwa ndani ili kuweza kujua uhalisia wake. Huwa hawachukulii kitu juu juu kama wanavyofanya watu wengine. Kwanza kabisa wanajizuia wasihukumu kitu chochote kile wanachofanya watu, hata kama ni kibaya kiasi gani. Huchukulia kwamba watu wana sababu ya kila wanachofanya, sababu inayoonekana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz