#SheriaYaLeo (303/366); Dhibiti majivuno yako.

By | August 30, 2022
#SheriaYaLeo (303/366); Dhibiti majivuno yako. Unataka kufanya makubwa na kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako. Umejiwekea malengo makubwa ambayo una uhakika wa kuyafikia. Hayo yote ni mazuri kabisa na ndivyo wengi waliofanikiwa walivyofanya. Ila kuna mahali pamoja wengi hukosea na hilo kupelekea kushindwa. Wanapoweka malengo yao makubwa, wanaona ni lazima

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz