#SheriaYaLeo (306/366); Tumaini kwa ajili yetu wote.

By | September 2, 2022
#SheriaYaLeo (306/366); Tumaini kwa ajili yetu wote. Tumeshaona jinsi ambavyo sisi binadamu ni viumbe wa kihisia. Huwa tunafanya maamuzi yetu kwa kusukumwa na hisia badala ya mantiki. Na hilo ndiyo limekuwa chanzo cha matatizo ambayo tumekuwa tunakutana nayo kwenye maisha. Lakini pamoja na hayo, bado lipo tumaini kwa ajili yetu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz