#SheriaYaLeo (307/366); Epuka kuvurugwa na hisia za wengine.

By | September 3, 2022
#SheriaYaLeo (307/366); Epuka kuvurugwa na hisia za wengine. Ili ufanikiwe, lazima uweze kudhibiti hisia zako. Lakini hata ukiweza kufanikisha hilo, bado hutaweza kudhibiti hisia za wale wanaokuzunguka. Na hilo linakuwa hatari kubwa kwako. Watu wengi wanaendeshwa kwa hisia. Kila mara wakiwa wakiwa wanalipuka na kukabiliana na migogoro mbalimbali. Wanapokuona wewe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz