#SheriaYaLeo (323/366); Angalia nje yako pia.

By | September 19, 2022
#SheriaYaLeo (323/366); Angalia nje yako pia. Kwa asili sisi binadamu huwa tunajiangalia sisi wenyewe zaidi. Huwa tunajali zaidi kuhusu changamoto zetu na matakwa yetu pia. Wewe unapaswa kwenda kinyume na hili kadiri iwezekanavyo. Na utaweza kulifanya hilo kwa njia tatu; Kwanza unakuwa msikilizaji makini. Unaweka umakini wako wote kwa wengine,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz