2821; Kila mtu anafanya.

By | September 21, 2022
2821; Kila mtu anafanya. Sababu ya hovyo kabisa ya kufanya kitu ni kila mtu kuwa anakifanya. Sisi binadamu kama viumbe wa kimamii huwa tunapenda sana kufuata mkumbo. Lakini tuanze tu kwa kuuangalia ukweli ulivyo. Watu wengi kwenye jamii hawafanikiwi. Kwa kuwa wale tunaojihusisha nao wana ushawishi mkubwa kwetu, tunapaswa kuwaepuka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz