#SheriaYaLeo (331/366); Kuona unachotaka kuona.

By | September 27, 2022
#SheriaYaLeo (331/366); Kuona unachotaka kuona. Huwa tunapenda kuthibitisha mawazo ambayo tunayo, kwa kuonyesha kwamba ni sahihi. Hivyo tunajikuta tukitafuta ushahidi wa kuonyesha hilo. Tatizo linalokuja ni kwamba, ushahidi tunapata hauwi kweli, bali unakuwa ni upendeleo wa kile tunachotaka. Inapokuja kwenye kuthibitisha mawazo tuliyonayo, huwa tunaishia kuwa na upendeleo. Tunajikuta tukileta

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz