#SheriaYaLeo (332/366); Huwajui watu kama unavyodhani unawajua.

By | September 28, 2022
#SheriaYaLeo (332/366); Huwajui watu kama unavyodhani unawajua. Hatari kubwa uliyonayo ni kudhani unaweza kuwajua na kuwaelewa vizuri watu kwa mwonekano wa haraka wa nje. Watu wanaokuzunguka wamevaa sura ya kuigiza mbele yako, wakitaka waonekane kwa namna fulani, ambayo ni tofauti na uhalisia wao. Kama utakuwa haraka kukimbilia kuamua, utaishia kuamua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz