2900; Sikitika nao, lakini usinunue matatizo yao.

By | December 9, 2022
2900; Sikitika nao, lakini usinunue matatizo yao. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye unapojaribu kujenga urafiki na wateja, wao wanajaribu kuutumia kujinufaisha binafsi. Wanatumia fursa hiyo kukueleza matatizo yao binafsi na kutaka uwakopeshe kile unachouza. Kibinadamu, ni mambo ambayo yanaumiza na unashawishika kutaka kuwasaidia watu wa aina hiyo. Hapo ndipo ninapotaka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz