2951; Njia yangu au njia kuu.

By | January 29, 2023
2951; Njia yangu au njia kuu.Rafiki yangu mpendwa, Zipo njia nyingi sana za kuweza kumfikisha mtu kwenye mafanikio anayoyataka.Uwepo wa njia hizo nyingi ulipaswa uwe ni uhuru mkubwa kwa wengi, kwa kuwaonyesha wanaweza kupata wanachotaka.Lakini badala yake njia hizo nyingi zimegeuka kuwa usumbufu mkubwa kwa wengi.Kwani watu hawakai kwenye njia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz