2967; Haifai kwangu.

By | February 14, 2023
2967; Haifai kwangu.Rafiki yangu mpendwa,Tofauti kubwa ya watu waliofanikiwa na walioshindwa ni hii; waliofanikiwa wanaona suluhisho kwenye kila tatizo, wakati walioshindwa waliona tatizo kwenye kila suluhisho.Waonyeshe waliofakiwa njia fulani yenye matokeo mazuri kwa wengine na wataona jinsi gani njia hiyo inaweza kuwafaa na wao pia.Lakini mwonyeshe aliyeshindwa njia fulani yenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz