2992; Ukomo wa watu wengine.

By | March 11, 2023
2992; Ukomo wa watu wengine.Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi hawafanikiwi kwenye maisha yao kwa sababu wana ukomo ambao wamejiwekea kwenye fikra zao.Wanakuwa wamefunga fikra zao kwa nini kinachowezekana na nini hakiwezekani.Wanapokuona wewe ukiwa na fikra za kufanya makubwa, wanakuambia haiwezekani. Kukuambia kwao haiwezekani, siyo kwamba haiwezekani kweli, bali huo ndiyo ukomo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz