3004; Malengo na sababu.

By | March 23, 2023
3004; Malengo na sababu.Rafiki yangu mpendwa, Huwa tunachukulia wanaoshindwa kwenye maisha kama watu ambao hawana malengo yoyote.Na wanaofanikiwa kwenye maisha tunaona ndiyo wenye malengo.Kwa kifupi tunachodhani ni tofauti ya wanaoshindwa na wanaofanikiwa ni malengo.Lakini huo siyo ukweli, karibu kila mtu ana malengo fulani. Malengo hayo yanaweza kuwa madogo au makubwa,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz