3006; Haifanyiki.

By | March 25, 2023
3006; Haifanyiki.Rafiki yangu mpendwa,Asili ina kanuni ya visababishi na matokeo.Kanuni hiyo inasema kwa kila matokeo unayoyaona, kuna visababishi vyake.Hivyo basi, kama kuna matokeo ulitegemea kuyaona ila hayaonekani, ni kwamba hakuna visababishi.Waswahili wanasema ukiona vyaelea ujue vimeundwa.Mambo hayatokei tu kwa bahati au ajali, bali huwa yanasababishwa.Na hapo ndipo nataka kuzungumza vizuri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz