3009; Umasikini na uaminifu.

By | March 28, 2023
3009; Umasikini na uaminifu.Rafiki yangu mpendwa,Kwenye makala ya ukurasa wa 3008 uliopita niliandika;‘Hakuna kitu kama masikini mwenye furaha,Au masikini mwaminifu.Furaha na uaminifu haviwezi kukaa pamoja na umasikini.’Kila mtu alikubaliana na upande kwamba hakuna masikini mwenye furaha.Na hilo liko wazi kwamba huwezi kuwa na furaha kama huna uhakika wa wapi utapata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz