3012; Kama hakuna tatizo ni tatizo.

By | March 31, 2023
3012; Kama hakuna tatizo ni tatizo.Rafiki yangu mpendwa,Kama unaiendesha biashara yako kwa kasi na mabadiliko tunayoenda nayo, kuna matatizo mengi ambayo utayatengeneza.Mabadiliko yoyote unayofanya, lazima yazalishe matatizo mbalimbali. Kadhalika pale unapokwenda kwa kasi kubwa, lazima ufanye baadhi ya makosa ambayo yanaleta matatizo.Kama unaendesha biashara yako na hakuna matatizo wala changamoto

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz