3014; Kama hushindwi, unashindwa.

By | April 2, 2023
3014; Kama hushindwi, unashindwa.Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu huwa tunaepuka sana kushindwa.Hiyo ni kwa sababu tumekuzwa tukiaminishwa kwamba kushindwa ni kubaya.Tumeaminishwa anayeshindwa anakuwa na matatizo fulani.Tangu utotoni, kushindwa kumekuwa kukiadhibiwa kwa namna mbalimbali.Hilo limetujengea hofu kubwa kwenye kushindwa.Na hofu hiyo imepelekea tusiwe tayari kujaribu vitu vipya, kwa kuwa hatutaki kushindwa.Ili pia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz