3021; Haina mjadala.

By | April 9, 2023
3021; Haina mjadala.Rafiki yangu mpendwa,Kwenye maisha yangu sijawahi kusikia mtu anasema amekuwa bize sana kiasi kwamba amekosa muda wa kupumua.Au mtu kusema ametingwa sana kiasi cha kushindwa kula chochote kwa siku nzima.Kuna vitu ambavyo hata iweje lazima uvifanye kwenye kila siku yako.Hata iwe umebanwa kiasi gani, lazima utapumua, utaoga, utakula,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz