3034; Fanya kwa ajili yako.

By | April 22, 2023
3034; Fanya kwa ajili yako.Rafiki yangu mpendwa,Huenda umewahi kutumia muda na nguvu zako kufanya kitu kwa ajili ya wengine.Ukitegemea kwamba watakushukuru kwa namna ulivyojitoa.Au watakulipa fadhila kwa uliyowafanyia.Lakini matokeo yanakuwa ni tofauti kabisa.Watu unaokuwa umejitoa kufanya vitu kwa ajili yao hawajali kabisa.Hawakushukuru kwa namna ulivyojitoa.Lakini pia hata pale unapokuwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz