3035; Huwajibiki kumridhisha yeyote.

By | April 23, 2023
3035; Huwajibiki kumridhisha yeyote.Rafiki yangu mpendwa,Moja ya vitu vinavyotuchelewesha kufanikiwa kwenye maisha ni kujipa wajibu mwingi usiotuhusu.Na moja ya wajibu tuliojipa ambao unatutesa bure ni kutaka kumridhisha kila mtu.Huu ni wajibu unaotuchosha na usio na tija yoyote kwetu, kwa sababu hauna mchango kwetu kufikia mafanikio makubwa tunayoyataka.Tumekuzwa tukiogopa kuingia kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz