MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
Barua ya I; Tumia muda wako vizuri.
Barua ya I; Tumia muda wako vizuri.Rafiki yangu Mstoa,Muda ni rasilimali muhimu sana kwenye maisha yetu.Ndiyo rasilimali pekee ambayo ukiipoteza huwezi kuipata tena.Lakini pamoja na upekee huo wa muda, bado watu wengi hawana udhibiti na muda wao, hivyo kuishia kuupoteza.Unaweza kudhani changamoto ya muda ni kwa zama tunazoishi sasa.Zama ambazo