MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
3047; Ni bora uache mapema.
3047; Ni bora uache mapema.Rafiki yangu mpendwa,Kuna sababu kuu mbili kwa nini watu hawapati kile wanachotaka kwenye maisha yao.Moja ni hawajui kwa hakika nini hasa wanachotaka.Na mbili ni hawajajitoa kweli kweli kupata kile wanachotaka.Pamoja na mahangaiko makubwa ambayo unaona watu wengi wanayo, sehemu kubwa ya watu hao hawajui wanachotaka.Na wala