3062; Hakuna mjadala.

By | May 20, 2023
3062; Hakuna mjadala.Rafiki yangu mpendwa,Fikiria kuna kitu muhimu sana ambacho unataka kununua.Unaongea na muuzaji wa kitu hicho na anakupa bei.Mnajadiliana kwenye bei na kufikia muafaka kati yako na muuzaji.Unaondoka kwenda kuchukua fedha za kulipia kama mlivyokubaliana.Unarudi ukiwa na kiasi cha fedha kilichokamilika kulingana na makubaliano.Lakini muuzaji anakuambia hataweza kukuuzia kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz