3065; Maumivu hayajatosha.

By | May 23, 2023
3065; Maumivu hayajatosha.Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu ni viumbe wa tabia, huwa tunaanza kujenga tabia, kisha tabia zinatujenga.Asilimia kubwa ya yale tunayofanya kila siku, tunayafanya kwa tabia na mazoea na siyo kwa fikra.Hilo ndiyo huleta upinzani mkali sana kwenye mabadiliko.Watu huwa hawapo tayari kuachana na tabia na maumivu yao.Njia pekee ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz