3068; Kuweka na kutoa.

By | May 26, 2023
3068; Kuweka na kutoa.Rafiki yangu mpendwa,Kuna hadithi nyingi tulizokuwa tunafundishwa tulipokuwa watoto, ambazo zilikuwa na mafunzo makubwa sana kuhusu maisha.Nyingi zilikuwa na mafunzo ambayo yalikuwa nje ya uwezo wetu kuelewa kwenye hicho kipindi.Kwa mfano kuna hadithi ya kijana ambaye alipewa kazi ya kwenda kulisha mifugo nje kidogo ya kijiji.Kijana huyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz