3069; Kesho itakuwa ngumu zaidi.

By | May 27, 2023
3069; Kesho itakuwa ngumu zaidi.Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu huwa tupo vizuri sana kwenye kujidanganya.Huwa tunapanga mambo yetu wenyewe, tukiwa na shauku kubwa.Lakini wakati wa kufanya mambo hayo unapofika, tunaahirisha.Tunajiambia tutafanya kesho.Kama kuna kaburi ambalo lina ndoto nyingi zilizoshindwa kutimia basi ni hiyo kesho.Hebu anza tu kwa kujiuliza wewe mwenyewe, ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz