3073; Faida, Hasara au Mshahara?

By | May 31, 2023
3073; Faida, Hasara au Mshahara?Rafiki yangu mpendwa,Jim Rohn aliwahi kunukuliwa akisema; unalipwa kulingana na thamani unayoipeleka sokoni.Hiyo ina maana kwamba kiasi cha fedha unachopata, kinategemea sana kile unachofanya na jinsi unavyofanya vitu hivyo.Kanuni ya msingi ya uchumi pia inaeleza wazi juu ya mahitaji (demand) na upatikanaji (supply) wa kitu.Kwamba kadiri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz