3081; Mambo yasiwe mengi.

By | June 8, 2023
3081; Mambo yasiwe mengi.Rafiki yangu mpendwa,Kwa kuwa tunataka sana kufanikiwa kwenye maisha yetu, huwa hatuoni kama sisi wenyewe tunaweza kuwa kikwazo kwenye mafanikio yetu.Lakini ukweli ni kwamba sisi wenyewe huwa tunakuwa kikwazo kwa mafanikio makubwa tunayoyataka kwa sababu ya mambo kuwa mengi.Kadiri mtu anavyokuwa na orodha ndefu ya mambo ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz