Barua ya VI; Kushirikishana Maarifa.

By | June 9, 2023
Barua ya VI; Kushirikishana Maarifa. Rafiki yangu Mstoa,Tunaishi kwenye zama za maarifa na taarifa, ambapo nguvu kubwa ipo kwa wale wenye maarifa na taarifa sahihi na kufanyia kazi. Pamoja na maarifa na taarifa kupatikana kwa wingi kwenye zama hizi, bado wengi sana wameshindwa kuzipata na kufanyia kazi, kitu ambacho kimepelekea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA YA USTOA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz