Barua ya VII; Epuka makundi.

By | June 16, 2023
Barua ya VII; Epuka makundi.Rafiki yangu Mstoa, Kwa asili sisi binadamu ni viumbe wa kijamii na huwa tunapenda kuwa ndani ya kundi fulani.Huwa tunajiona tukiwa salama zaidi ndani ya kundi kwa kuamini watu wengi hawawezi kukosea.Lakini hilo siyo sahihi, watu huwa wanakosea zaidi kwenye kundi kuliko wakiwa peke yao.Hivyo kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA YA USTOA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz