3113; Una kitu, utafika mbali.

By | July 10, 2023
3113; Una kitu, utafika mbali.Rafiki yangu mpendwa,Leo nataka nikupe maua yako, nikupe sifa kwa vitu ulivyonavyo, ambavyo ukiamua kuvitumia vizuri, utafanya makubwa sana kwenye maisha yako.Ni vitu ambavyo unaweza kuwa unavichukulia kawaida, lakini kama utavipa uzito, utaweza kufikia malengo makubwa uliyonayo.Wewe kuwa hai mpaka sasa ni kitu kikubwa sana, ambacho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz