Barua ya XI; Kuhusu tabia za asili.

By | July 14, 2023
Barua ya XI; Kuhusu tabia za asili.Rafiki yangu Mstoa, Watu huwa tuna tabia mbalimbali ambazo tunakuwa nazo.Baadhi ya tabia hizo huwa ni za asili kwetu, yaani tumezaliwa nazo, wakati tabia nyingine huwa tunaziiga.Kuna wakati tabia tunazokuwa nazo zinakuwa kikwazo kwetu na hivyo kutaka kuzibadili.Kwa tabia za kuiga, huwa ni rahisi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz