3147; Tumia sababu zote za kushindwa.

By | August 13, 2023
3147; Tumia sababu zote za kushindwa.Rafiki yangu mpendwa,Wote tunakumbuka wakati tupo shuleni.Tulijua kuna mitihani ambayo inakuja.Pale tulipojiandaa vyema na mitihani hiyo na ikatokea tukafanya vibaya, huwa hatuumii sana, kwa sababu tunajua tumefanya kila kitu.Lakini pale ambapo hatukujiandaa vyema na ikatokea tumefanya vibaya, huwa tunaumia sana.Tunajiambia kama tungejiandaa vyema, huenda tungefanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz