3151; Tayari tumeshashinda.

By | August 17, 2023
3151; Tayari tumeshashinda.Rafiki yangu mpendwa,Kwenye mchezo wa aina yoyote ile, kushinda au kushindwa huwa kunaanzia nje ya uwanja.Yaani timu inaingia uwanjani ikiwa tayari ina matokeo.Kinachokwenda kufanyika uwanjani ni kukamilisha tu mchezo kama ulivyopangwa.Hiyo haimaanishi kwamba wamependelewa kupewa ushindi, bali inamaanisha hawapo tayari kupokea kingine isipokuwa ushindi. Lakini pia kuna timu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz