3159; Maokoto.

By | August 25, 2023
3159; Maokoto.Rafiki yangu mpendwa,Fedha ndiyo kitu ambacho huenda kina majina mengi ya utani kuliko kitu kingine chochote.Fikiria majina mbalimbali ya fedha kama mshiko, mapene, ngawira, fuba au shekeli.Yote hayo ni majina ya fedha yamekuwa yakitumika katika nyakati mbalimbali.Na kwa wakati wa sasa, jina maarufu la fedha ni maokoto.Binafsi nimelipenda jina

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz