3166; Bakiza moja.

By | September 1, 2023
3166; Bakiza moja. Rafiki yangu mpendwa,Kwenye harakati za kujitafuta, nimewahi kufanya kilimo cha matikiti maji.Nilishirikiana na rafiki yangu mmoja na tulijipanga vyema kuhakikisha tunapata matokeo mazuri. Baada ya kuandaa shamba, kupanda na miche kuanza kutoa matunda, tulitafuta mtaalamu wa kilimo na kwenda naye shambani ili aangalie na kutushauri zaidi mambo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz