3167; Msukumo sahihi.

By | September 2, 2023
3167; Msukumo sahihi.Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu huwa hatufanyi maamuzi na kuchukua hatua kama hakuna msukumo ndani yetu.Ni lazima kuwe na msukumo kwanza, tena ambao unagusa hisia ndiyo tuweze kuamua na kuchukua hatua.Kadiri maamuzi na hatua tunazochukua zinavyokuwa kubwa, ndivyo msukumo unavyopaswa kuwa mkubwa pia.Kabla ya kuendelea nitakupa mfano wa kichekesho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz