3264; Gharama ya makosa.

By | December 8, 2023
3264; Gharama ya makosa.Rafiki yangu mpendwa,Huwa kuna kauli inayosema usimkatishe adui yako akiwa anafanya makosa. Hiyo ni kwa sababu makosa yake yanakuwa na manufaa kwako.Hivyo pia ndivyo ilivyo kwa upande wako, makosa unayofanya unaishia kuwanufaisha zaidi wengine.Kwa kila kosa unalofanya, jua kuna wengine ambao wananufaika kupitia makosa yako.Lengo lako halipaswi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In

Prove your humanity


   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz