3281; Tatizo ni kujidanganya.

By | December 25, 2023
3281; Tatizo ni kujidanganya. Rafiki yangu mpendwa,Kitu kimoja kinachowakwamisha watu wengi sana wasipate kile wanachotaka ni kujidanganya wao wenyewe. Wanakuwa wameanza kwa kuwadanganya wengine, mpaka wanafikia kujidanganya wao wenyewe. Uzuri ni kwamba, matokeo huwa hawadanganyi, yanaweka kila kitu dhahiri kabisa. Matokeo ambayo yanapatikana ndiyo ukweli wenyewe, bila ya kujali mtu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz