3291; Kupambania unachotaka.

By | January 4, 2024
3291; Kupambania unachotaka.Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi wamekuwa hawapati kile wanachotaka, siyo kwa sababu hawawezi kupata, bali kwa sababu wanashindwa kukipambania kweli.Kila kitu ambacho mtu anakitaka, kinawezekana kabisa kupatikana.Lakini hakiwezi kupatikana kirahisi.Lazima mapambano makali sana yaweze kuvukwa na yule anayetaka.Ni mapambano makali kwa sababu kuna vikwazo vingi vya kuvuka.Kwanza ni vikwazo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz