3307; Chagua kwa usahihi.

By | January 20, 2024
3307; Chagua kwa usahihi. Rafiki yangu mpendwa,Wakati mwingine watu wanashindwa kwenye kile wanachofanya, siyo kwa sababu hakiwezekani, bali kwa sababu wanakuwa hawajachagua kwa usahihi wale wanaowalenga.Unaweza kuwa na biashara ambayo ni nzuri kabisa, ambapo kuna thamani kubwa unayoitoa, ambayo watu wana uhitaji nayo, lakini bado ikashindwa.Biashara kama hiyo inashindwa kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz