Author Archives: Deogratius Kessy

About Deogratius Kessy

Deogratius Kessy ni mwandishi,Mhamasishaji, mwalimu na pia mjasiriamali.Anaandika kupitia mtandao wake wa www.mtaalamu.net/kessydeo lakini pia huwa anaandika katika mtandao wa amka mtanzania Mara moja kwa wiki unaoendeshwa na Makirita Amani.Aidha, mpaka sasa mwandishi Deogratius Kessy ameshatoa kitabu kimoja kiitwacho Funga ndoa na Utajiri. kitabu hiki kipo katika mfumo wa nakala tete ambacho baadae kitakuwa kinapatikana kwa mfumo wa kawaida yaani Hard copy.Deogratius Kessy, alihamasishwa kuandika na Makirita Amani tokea mwaka 2014 mpaka leo. Amechagua falsafa ya kuandika na kujifunza kila siku.vilevile, amejitoa kutumika na kusaidia watu wengine kupitia maandiko yake anayoandika kupitia vitabu na kwenye mitandao.mwandishi Deogratius, anavipaji kama vile kuandika, kuongea, kufundisha na uongozi. mwisho, Haya ni machache tu kati ya mengi anayofanya Deogratius Kessy. Asante sana.

Jinsi Ya Kuepuka Kununua Matatizo

By | August 19, 2023

Mstoa mwenzangu, Kama tulivyojifunza jana kwenye makala ya kwanza ya ustoa, tunapaswa kuwa wanafalsafa kwa kuishi falsafa kwa matendo na siyo maneno.Falsafa ni kupenda hekima,na hekima ni kupenda kujifunza na kuchukua hatua. Huwezi kuwa na furaha kama huna hekima. Ukiwa huishi falsafa, utakua ni mtu wa kununua matatizo ya watu (more…)

Kwa Nini Dini Zote Zinapaswa Kuwa Na Uvumilivu

By | August 12, 2023

Mpendwa mstoa mwenzangu, Jana kwenye falsafa ya kwanza ya Ustoa tulijifunza umuhimu wa kuwa na afya ya akili, mwili na roho. Na tuliona kwamba , binadamu huwezi kukamilika kama hujakamilika kwenye maeneo hayo. Eneo la kiroho ndiyo eneo ambalo watu wengi bado hawajalipatia na linawafanya watu wengi kukosa shukrani na (more…)

Yajue Yaliyo Ndani Ya Uwezo Wako Na Yaliyo Nje Ya Uwezo Wako

By | July 29, 2023

Habari njema rafiki yangu mstoa mwenzangu, Mchezo mzima maisha yetu uko hapa. Kama tukiweza kuyajua yale ambayo yako ndani ya uwezo wetu na yale ambayo yako nje ya uwezo wetu tutaweza kuishi maisha yetu kwa uhuru zaidi.Mambo mengine yanatokea yanatupa hofu kwa nini yametokea bila kujua hata hatuwezi kuyadhibiti kutokea (more…)

Mtu Ambaye Hawezi Kujifunza Kitu Kipya

By | July 22, 2023

Mpendwa mstoa mwenzangu, Tuko katika zama za ujuaji, kila mtu ni mtaalamu kwa msaada wa mtandao wa intaneti. Kila mtu ni daktari, mwalimu, mwanasheria na vile vingine vyote unavyovijua wewe. Watu wamekuwa wajuaji, kiasi kwamba hawataki tena kujifunza, watu wamejikuta ni wajuaji lakini hawana kitu hata wanachojua, mtu ambaye hapati (more…)

Misingi Miwili Muhimu Kwenye Maisha Yako

By | July 8, 2023

Hapo zamani za kale, jamii ya kiyahudi ilikuwa na misingi na sheria inayowaongoza na walikuwa amri mia sita kumi na tatu. Ilikuwa ni ngumu kwa binadamu wa kawaida kuzishika zote. Baadaye wakalalamika, ndipo mtume na nabii wao Musa alipoenda kuongea na Mungu katika mlima Sinai akawapunguzia amri kutoka amri zaidi (more…)

Njia Bora Ya Kulipa Kisasi

By | June 24, 2023

Kiasili sisi binadamu ni watu wa kulipa kisasi, pale mtu anapotutendea ndivyo sivyo huwa hatukubali tunahakikisha tunalipa kisasi. Tusipolipa kisasi katika jamii zetu ni kama vile kuonekana mjinga, ila unapolipa kisasi ndiyo unaonekana mjanja. Jamii imekuwa inakomeshana kwa njia ya visasi. Yote hii ni kwa sababu ya chuki iliyombika ndani (more…)